Skip to main content

Coming Soon: Daraja Juu ya Mto Nile (English Edition)





The book titled: DARAJA JUU YA MTO NILE authored by Mark Mwandosya, was published in 2015. The publication of the book in kiswahili was aimed at, among other reasons, the promotion of the use of kiswahili, a national language of Tanzania, and Kenya, and a language widely spoken in Eastern Africa and beginning to spread across Africa and other continents.
Yet english, as a language is more widely spoken and indeed the "kiswahili of the world". Calls have been made for the book to be translated into english, and the author has obliged. For the subject of transboundary watercourses is as topical as it is current. The River Nile is no exception.
The book: BRIDGE ACROSS THE RIVER NILE is with the printers and should be out in a few weeks.

©Mark Mwandosya
Copyright© 2017 Mark Mwandosya. All rights reserved

Comments

Popular posts from this blog

Salaam kutoka Comoro

Nimeona niandike waraka huu kutoka ughaibuni, ingawa si ugenini sana, nikiwa Jamhuri ya Comoro. Nimebahatika kusafiri sana kikazi duniani kote, kuanzia Japan mpaka Brazil, kuanzia Guyana mpaka Australia. Nimeiwakilisha nchi kikazi katika mabara yote isipokuwa Aktiki na Antaktika. Namshukuru Rabuka kwa kuniwezesha kulitumikia Taifa langu kwa zaidi ya miaka arobaini. Nimetembelea nchi zote jirani isipokuwa Jamhuri ya Comoro. Mara nyingi tumezoea kusema Tanzania inapakana na nchi nane; Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Jamhuri ya Watu ya Congo, Zambia, Malawi, na Msumbiji. Tunasahau kwamba watu wa Visiwa vya Comoro ni jirani zetu. Badala ya mpaka wa ardhi tunatenganishwa na Bahari ya Hindi. Inawezekana hii ikawa ndio sababu ya nchi zetu kutokuwa na ushirikiano wa karibu kiuchumi na kiutawala, pamoja na kwamba kijamii na kiutamaduni sisi, na hasa watu wa mwambao wa pwani na Zanzibar, Wacomoro wamekuwa ni sehemu yetu. Mara nyingi utasikia fulani na fulani wametutangulia mbele

Grüße aus Matema Beach, Nyasa See, Tansania

Grüße aus Matema Beach, Nyasa See, Tansania Von Mark Mwandosya. 26. Oktober 2017 (Übersetzt von Heinke Schimanowski-Thomsen) Vorwort Im August 2017 hatte ich Gelegenheit zur Republik der Komoren Inseln zu reisen. Die Komoren bestehen aus 4 Inseln: Grande Comore (Ngazija), Anjouan (Nzuwani), Mohéli (Mwali) und Mayotte (Mahoré). Die Insel Mayotte steht weiterhin unter französischer Verwaltung solange bis  die Einwohner entscheiden, sich mit den anderen Inseln zu vereinigen. Die Komoren beanspruchen die Insel Mayotte als zu ihrer Einheit zugehörig. Ich und meine Familie besuchten 2 Inseln von diesen 4, Ngazija und Nzuwani. Als ich auf den Komoren war verfasste ich einen Brief, den ich „Grüße von den Komoren“ nannte und im Netz veröffentlichte. Viele Leute hatten Gelegenheit diesen Brief zu lesen. Einige von denen, zusammen mit Glückwünschen, rieten mir, so einen Brief über Tansania zu schreiben. Das war für mich eine Herausforderung. So einen Brief zu schrei

Salaam kutoka Matema Beach, Ziwa Nyasa, Tanzania

Salaam kutoka Matema Beach, Ziwa Nyasa, Tanzania Utangulizi Mwezi Agosti 2017 nilipata nafasi ya kusafiri kwenda Jamhuri ya Visiwa vya Comoro. Comoro ni umoja wa visiwa vinne; Ngazija, Nzuwani, Mwali, na Maore. Hata hivyo kisiwa cha Maore au Mayotte kinasimamiwa na Ufaransa mpaka hapo wananchi wa Maore watakapoamua kuungana na visiwa vingine. Comoro inaendelea kukitambua kisiwa cha Maore kama sehemu ya Umoja wake. Mimi na familia yangu tulizuru visiwa viwili kati ya hivyo vinne, Ngazija na Nzuwani. Nikiwa Comoro niliandika waraka niliouita “Salaam kutoka Comoro” na kuusambaza katika mtandao. Watu wengi wamepata nafasi ya kusoma waraka huo. Baadhi yao, pamoja na kunipongeza walinishauri, na hakika walinipa changamoto kuhusu umuhimu wa kuandika waraka kama huo lakini ukilenga kuitangaza Tanzania, kwa watanzania na wageni. Unaanzia wapi kuandika kuhusu Tanzania, nchi iliyojaaliwa na Mwenyezi Mungu kuwa na rasilimali asilia zisizo na mfano duniani? Aidha watu wengi wameandika